|
Ramadhan Qur'an Contest 1431AH
(2010)

[photogallery/photo00026500/real.htm]
(Picha
na Saleh Jaber)
Matokeo ya Washindani wa Ramadhan Qur'an Contest 1431AH kutokana na Majaji

Alhamdulillah, mashindano ya kusoma Qur'an katika mwezi
mtukufu wa Ramadhan ya mwaka 1431AH (2010) yaliyofanyika
tarehe 21/08/2010 yamekamilika. Imetangazwa rasmi katika
ukumbi wa mashindano ya Qur'an kuwa, matokeo ya mwaka huu
yamechukuliwa kufanyiwa kazi na majaji na yatatangazwa rasmi
katika siku zijazo, Inshallah. Hii ni kutokana na muda
uliotukabili katika ukumbi wa mashindano na kuwapa fursa
majaji wafanye kazi yao kiutulivu na kupata matokeo ya
washindani kama walivyoona (majaji) wao, Inshallah.
Wabillahi tawfeeq.
Alhamdulillah, we have successfully completed Ramadhan
Qur'an Contest 1431AH (2010) which was held on 21/08/2010.
In the end of the contest, it was officially announced that
the results of this year's Ramadhan Qur'an Contest will be
announced at later days after the judges come up with the
outcome, Inshallah. Wabillahi tawfeeq.
Washindani wa Ramadhan Qur'an Contest 1431AH kwa mpangilio
walivyoanza kusoma

Level 1
Mahir Nassor
Luqman Said
Abdallah Said
Feisal Issa
Safrana Faiz
Khairat Juma
Yakoub Abeid
Level 2
Hasan Mohamed
Salim Nassor
Rashid Mohamed
UmmuKulthum Said
Samiya Said
Faiza Sagaf
Rafia Al-Miskry
Mujahid Mujahid
Level 3
Mohammed Yusuf
Ashraf Khalifa
AbdulMajid Yusuf
(Washindani
wa mashindano ya Qur'an wote ni Washindi)
Kuangalia Levels za washindani na Kanuni za mashindano
bonyeza hapa
Majaji

Sheikh Issa
Mujaahid
Ustadh Sabry
El Abry
Ustadh Yusuf
Abdillahi
Mtangazaji

Ustadh Said
Ahmed
Shukran

Shukran za
wote waliochangia katika mashindano ya Qur'an 1431 AH (2010)
zitafuata baada ya matokeo ya mashindano, Inshallah.
Ramadhan
Qur'an Contest 1431AH (2010) Sponsored by:

-
Jazaakallahu Khayran -
Tunawaomba mtuunge mkono kusimamisha jambo hili kila mwaka inshallah, maelezo zaidi tuma
email:
info@salamatrust.com
-
Wabillahi Tawfeeq -
Salama
Charitable Trust
 |